KINANA APIGA KAMPENI YA NGUVU VISIWA NANSIO UKEREWE

October 08, 2015

 Katibu Mkuu wa CCM Ndugu Abdulrahman Kinana akiwasili kwenye eneo la mkutano wa kumnadi mgombea wa CCM Dk. John Pombe Magufuli kwenye visiwa vya Nansio Ukerewe.
 Katibu Mkuu wa CCM Ndugu Abdulrahman Kinana akihutubia wakazi wa Nansio kwenye mkutano wa kumnadi mgombea wa CCM Dk. John Pombe Magufuli kwenye visiwavya Nansio Ukerewe.
Katibu Mkuu wa CCM Ndugu Abdulrahman Kinana akihutubia wakazi wa Nansio waliojitokeza kwa wingi kwenye eneo la
mkutano wa kumnadi mgombea wa CCM Dk. John Pombe Magufuli,Ukerewe.

Share this

Related Posts

Previous
Next Post »