WAZIRI WA KAZI ATEMBELEA BANDA LA NSSF KATIKA MAONYESHO YA SABASABA

July 10, 2015


 
Meneja Kiongozi Masoko na Uhusiano wa Shirika la Taifa la Hifadhi ya Jamii (NSSF), Eunice Chiume, akitoa maelezo kwa Waziri wa Kazi na Ajira,Gaudensia Kabaka, alipotembelea
banda la NSSF wakati wa Maonyesho ya 39 ya Biashara ya Kimataifa kwenye Viwanja
vya Mwalimu Nyerere jijini Dar es Salaam.
 
Waziri wa Kazi na Ajira, Gaudensia Kabaka akitembelea banda la NSSF.
 Waziri wa Kazi na Ajira,Gaudensia Kabaka akisaini kitabu cha wageni alipotembelea banda la NSSF. Kulia ni Meneja
Kiongozi Masoko na Uhusiano
 wa Shirika la Taifa la Hifadhi ya Jamii (NSSF),
Eunice Chiume.
 
 Kaimu Mkurugenzi Mkuu wa Shirika la Taifa la Hifadhi ya Jamii (NSSF) Sadi Shemliwa (wa pili kulia) akipata maelezo kutoka kwa Meneja Kiongozi Masoko na Uhusiano wa NSSF, Eunice Chiume wakati alipotembelea banda la NSSF katika Maonyesho ya Sabasaba jijini Dar es Salaam. 
 Kaimu Mkurugenzi Mkuu wa Shirika la Taifa la Hifadhi ya Jamii (NSSF) Sadi Shemliwa (wa pili kulia) akipata maelezo kutoka kwa Meneja Kiongozi Masoko na Uhusiano wa NSSF, Eunice Chiume wakati alipotembelea banda la NSSF katika Maonyesho ya Sabasaba jijini Dar es Salaam.
 Baadhi ya watoto wakipata zawadi za madaftari walipotembelea banda la NSSF.
Jaji Mkuu wa Tanzania, Mohamed Othman Chande akipata maelezo kutok kwa Ofisa Uhusiano Mwandamizi wa NSSF, Salim Khalfan alipotembelea banda la NSSF kujionea shughuli zinazofanywa na shirika hilo.

Share this

Related Posts

Previous
Next Post »