MWIGULU ACHUKUA FOMU YA KUWANIA URAIS

June 06, 2015

Mh.Mwigulu akiwasili makao makuu ya CHAMA CHA MAPINDUZI mjini Dodoma kwaajili ya Kuchukua Fomu ya Kuwania Urais wa Tanzania mwaka 2015.
Mh:Mwigulu akisaini kitabu cha Wagombea Urais kupitia chama cha Mapinduzi.
Mh:Mwigulu Nchemba na Mke wake Bi.Neema Mwigulu wakifurahia kukabidhiwa nyaraka mbalimbali za kufanikisha mchakato wa Kutafuta Wadhamini Nchi Nzima kuelekea hatua ya pili ya Mchujo wa Wagombea Urais ndani ya CCM.
Mwigulu Nchemba akimtambulisha Mke wake Bi.Neema Ngure kwa Umma wa Watanzania kuwa ndiye FIRST LADY ajaye wa Tanzania.
Mh:Mwigulu Nchemba akiwa anateta na mtu mwenye Ulemavu mara baada ya kupokea Nyaraka za Kuanza safari ya Kuwania Urais ndani ya Chama cha Mapinduzi.
Nje ya Ukumbi wa NEC hapa Makao Makuu ya Chama cha Mapinduzi,Mh:Mwigulu Nchemba akiwa na Mkewe Bi.Neema Mwigulu wakilakiwa na mamia ya Wananchi waliojitokeza kuwasapoti hii leo wakati wa uchukuaji wa fomu ya Kuwania Urais wa JMT kwa tiketi ya CCM.
Sehemu ya Wananchi waliojitokeza kumsapoti Mh:MWigulu Nchemba wakati wa uchukuaji wa fomu ya Kuwania Urais wa JMT.
Mh:Mwigulu Nchemba akiagana na Wananchi waliofika kumsapoti wakati wa Uchukuaji wa Fomu ya Kuwania Urais wa Tanzania mwaka 2015.
 
Picha na Maelezo na Festo Sanga

Share this

Related Posts

Previous
Next Post »