Katibu Mkuu wa CCM Ndugu Abdulrahman Kinana akiongozana na Mkuu wa wilaya ya Arumeru Mh. Mwilima Husna Mwilima
mara baada ya kuwasili katika kijiji cha Kisongo kwa ajili ya kukagua
mradi wa ujenzi wa daraja wakati akiwa katika ziara ya kikazi mkoa wa
Arusha akifuatilia na kukagua utekelezaji wa Ilani ya Uchaguzi ya CCM ya
mwaka 2010.
Ameongeza kwamba kiongozi akiharibu kazi atoke nje serikali hii ni ya
chama cha mapinduzi hivyo wana CCM wanatakiwa kuwa wa kwanza kuisafisha
msingoje mtu kutoka nje aisafishe , Ninaahidi tutachukua hatua zaidi
kuisafisha serikali.(PICHA NA KIKOSIKAZI CHA FULLSHANGWE-ARUMERU)
Katibu
Mkuu wa CCM Ndugu Abdulrahman Kinana akishieiki kumwaga zege kwa
kutumia toroli wakati alipokagua ujenzi wa daraja la Kisongo wilayani
Arumeru.
Katibu Mkuu wa CCM Ndugu Abdulrahman Kinana akirudisha toroli mara baada ya kumwaga zege katika ujenzi wa daraja hilo.
Nape
Nnauye akiongozana na wananchi wa kijiji cha Nduruma wilayani Arumeru
wakati alipofika kijiji hapo kusikiliza kero za wananchi.
Mbunge
wa jimbo la Arumeru Magharibi Mh. Gudluck Ole Medeye akizungumza jambo
wakati Abdulrahman Kinana kushoto alipotembelea na kukagua ujenzi wa
kituo cha afya cha Manyire kata ya Malangarini , wa kwanza kulia ni Nape
Nnauye Katibu wa NEC Itikadi na Uenezi na wa pili kutoka kulia ni
Mwenyekiti wa CCM mkoa wa Arusha Ole Nangole.
Katibu Mkuu wa CCM Ndugu Abdulrahman Kinana akizungumza
na wananchi wa kijiji cha Manyire kata ya Mlangarini na kumshukuru
diwani wa kata hiyo Bw. Mathias Manga kulia kwa kujenga kituo hicho
Katibu Mkuu wa CCM Ndugu Abdulrahman Kinana akishiriki katika ujenzi wa kituo hicho kwa kumwaga zege katika nguzo akisaidiana na diwani Mathias Manga.
Katibu Mkuu wa CCM Ndugu Abdulrahman Kinana akipata maelezo kutoka kwa Diwania Mathias Manga wakati alipokagua ujenzi wa kituo hicho.
Katibu Mkuu wa CCM Ndugu Abdulrahman Kinana akipata maelezo kutoka kwa Diwania Mathias Manga wakati alipokagua ujenzi wa kituo hicho.
Katibu Mkuu wa CCM Ndugu Abdulrahman Kinana akishiriki ujenzi wa shule ya Sokoni II wakati alipokagua ujenzi wa shule hiyo,
Mbunge
wa jimbo la Arumeru Magharibi Mh. Gudluck Ole Medeye akizungumza na
wananchi katika mkutano wa hadhara uliofanyika kwenye shule ya msingi ya
Ngaramtoni kata ya Olturumet.
Nape nnauye Katibu wa NEC Itikadi na Uenezi akiwahutubia wananchi
katika mkutano wa hadhara uliofanyika kwenye shule ya msingi ya
Ngaramtoni kata ya Olturumet.
Katibu Mkuu wa CCM Ndugu Abdulrahman Kinana akiwahutubia wananchi
katika mkutano wa hadhara uliofanyika kwenye shule ya msingi ya
Ngaramtoni kata ya Olturumet.