Shirika la Nyumba la Taifa lakabidhi mashine za kufyatulia matofali ya kufungamana Arusha

September 04, 2014
 
Mkuu wa wilaya ya Arumeru Nyirembe Munasa, Kiongozi wa Mbio za Mwenge kitaifa Bi.Rachel Kassanda  wakiwa tayari kutoa hundi kwa mmoja wa kiongozi wa vikundi vya vijana baada ya kupokea hundi. (Picha zote kwa Hisani ya Kitengo cha Mawasiliano ya Umma na Huduma kwa Jamii)
 
Kiongozi wa mbio za mwenge Rachel Kassanda akikagua matofali na nyuma yake ni mkuu wa wilaya ya Arumeru Nyerembe Munasa.
 Maafisa toka NHC Amoni Mazanda na Gibson Mwaigomole wakiangalia baadhi ya mambo yaliyoratibiwa na wenyeji wao H ya Meru
 
Maafisa wa shirika wa mauzo na miliki Amoni Mazanda wakiwa na maafisa maendeleo wa Halmashauri ya wilaya ya Arusha Mwatumu Dossi na wa Halamashauri ya Meru Bwana Mrema
 Jiwe la Msingi
  
Nyumba za gharama nafuu zilizopo Longido kama zinavyoonekana pichani
 Wageni wakiwasili eneo la nyumba za Shirika la Nyumba la Taifa Longido
Mbunge wa Longido Lekule Laizer akiwa na Mkuu wa wilaya ya Longido James Olle Millya wakiangalia jiwe la msingi la mradi wa nyumba za gharama nafuu Longido.
 
Maelezo kwa kiongozi wa mbio za mwenge kitaifa wakati wa makabidhiano ya mashine za kufyatulia matofali ya kufungamana

Share this

Related Posts

Previous
Next Post »