Rais
Dkt.Jakaya Mrisho Kikwete akimkaribisha Mkurugenzi Mkuu wa Shirika la
Kimataifa la Nguvu za Atomiki(IAEA) Dkt.Yukiya Amano ikulu jijini Dar es
Salaam leo.
Rais
Dkt.Jakaya Mrisho Kikwete akiwa katika mazungumzo na Mkuu wa Shirika la
kimataifa la Nguvu za Atomiki(IAEA) Dkt. Yukiya Amano ikulu jijini Dar
es Salaam leo.
Mkurugenzi
Mkuu wa Shirika la Kimataifa la Nguvu za Atomiki(IAEA) Dkt.Yukiya Amano
akiuangalia mti kubwa wa Mbuyu katika bustani za ikulu jijini Dar es
Salaam huku Rais Dkt.Jakaya Mrisho Kikwete akiomuonesha tunda la ubuyu.
Rais
Dkt.Jakaya Mrisho Kikwete akimuonesha tunda la ubuyu Mkurugenzi Mkuu wa
Shirika la Nguvu za Atomiki(IAEA) Dkt.Yukiya Amano mara baada ya
kufanya naye mazungumzo ikulu jijini Dar es Salaam leo.
Rais
Dkt.Jakaya Mrisho Kikwete akimjulia hali mwenyekiti mstaafu wa tume ya
Uchaguzi JAJI Lewis Makame aliyelazwa katika hospitali ya AMI iliyoko
Mikocheni jijini Dar es Salaam leo(picha na Freddy Maro)
EmoticonEmoticon