RAIS WA ZANZIBAR DKT. SHEIN AZUNGUMZA NA UONGOZI IDARA MAALUM ZA SMZ

May 07, 2014


Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe,Dkt.Ali Mohamed Shein (katikati) akizungumza na Uongozi wa Idara Maalum za SMZ katika mkutano wa utekelezaji mpango kazi wa robo tatu ya mwaka  Machi-Julai 2013/2014,katika ukumbi wa mikutano Ikulu Mjini Unguja leo asubuhi.
 Baadhi ya makamanda wa Idara maalum za SMZ wakimsikiliza  Waziri wa Ofisi ya Rais,Tawala za Mikoa na Idara Maalum za SMZ,Mhe,Haji Omar Kheri (hayupo pichani) alipokuwa akiwasilisha taarifa ya utekelezaji mpango kazi wa robo tatu ya mwaka  Julai-Machi 2013/2014,mbele ya  Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe,Dkt.Ali Mohamed Shein,katika ukumbi wa mikutano Ikulu Mjini Unguja leo asubuhi. Picha na Ramadhan Othman,Ikulu.

Share this

Related Posts

Previous
Next Post »