*GAZETI LA MTANZANIA KAMA MANDELA, LAANZA RASMI KUSOMWA JANA

December 28, 2013

 Mhariri wa michezo wa Gazeti la Mtanzania Mwani Nyangasa (katikati) na mtayarishaji wa kurasa, Zuhura Sufiani (kushoto) wakipozi na magazeti ya Mtanzania wakati wakifanya Promosheni ya gazeti hilo lililoanza kuingia rasmi mtaani jana Desemba 27, baada ya kufungiwa kwa miezi mitatu.
Mhariri Mtendaji wa Kampuni ya New Habari (2006 Ltd, Absalom Kibanda (katikati) akijumuika na wafanyakazi wa kampuni hiyo wakati wa kulinadi gazeti lao lililotoka kifungoni na kuanza kuingia mtaani rasmi jana Desemba 27.chanzo sufianimafotoblog

Share this

Related Posts

Previous
Next Post »