-Hadi sasa vitongoji 33,657 vimefikishiwa umeme sawa na 52.3%
ULUGURU NA PUGU KAZIMZUMBWI ZAIMARISHA USHIRIKIANO KWA UTALII NA UHIFADHI
habariNA EMMANUEL MBATILO, PWANI
HIFADHI ya Mazingira Asilia ya Uluguru kutoka mkoani Morogoro imefanya ziara ya mafunzo katika Hifadhi ya Mazingira Asilia ya Pugu Kazimzumbwi, kwa lengo la kuwajengea uwezo wadau wa utalii kutoka mkoa huo, sambamba na kuimarisha ushirikiano katika uhifadhi wa mazingira na kukuza utalii wa ikolojia.
GCLA INAENDELEA KUTOA ELIMU KWA WANANCHI KATIKA MAONESHO SABASABA
habariMkurugenzi Mkuu wa Mamlakla ya Dawa na Vifaa Tiba (TMDA), Dkt. Adam Fimbo (kulia) akisaini kitabu cha wageni alipotembelea banda la Mamlaka ya Maabara ya Mkemia Mkuu wa Serikali kwenye Maonesho ya 49 ya Kimataifa ya Dar es Salaam (Sabasaba) yanayofanyika katika viwanya vya sabasaba jijini Dar es Salaam.
Waziri Ridhiwani Atoa Wito kwa Vijana Kuchangamkia Fursa Zilizopo
habariNa Mwandishi Wetu - Dar es Salaam.
Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu Kazi, Vijana, Ajira na Wenye Ulemavu Mhe. Ridhiwani Kikwete ametoa wito kwa vijana kuchangamkia fursa mbalimbali zilizopo ikiwemo mikopo na mifuko mbalimbali ya uwezeshaji Wananchi kiuchumi.
WATANZANIA WATAKIWA KUACHANA NA DHANA POTOFU KWAMBA NISHATI SAFI YA KUPIKIA NI GHARAMA
habariWakala wa Nishati Vijijini (REA) umewasihi Watanzania kote nchini kuachana na dhana ya kwamba Nishati Safi ya Kupikia ni gharama ikilinganishwa na matumizi ya kuni na mkaa.
Subscribe to:
Posts (Atom)