WAZIRI KIKWETE ATEMBELEA BANDA LA BODI YA ITHIBATI YA WAANDISHI WA HABARI-HABARI-JAB
habari

Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu - Kazi, Ajira, Vijana naWenye Ulemavu, Mhe. Ridhiwani Kikwete (wa tatu kutoka kushoto) alipotembelea Banda la Bodi ya Ithibati ya Waandishi wa Habari-JAB lililopo katika Kijiji cha Wizara ya Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo, Julai 04, 2025 jijini Dar es Salaam.
Akiwa katika Banda hilo Mhe. Kikwete amekutana na Kaimu Mkurugenzi Mkuu wa Bodi Wakili Patrick Kipangula (wa pili kutoka kushoto) aliyemuelezea historia fupi ya kuanzishwa Bodi hiyo, majukumu yake na maendeleo ya zoezi la usajili wa Waandishi wa Habari na ugawaji wa vitambulisho vya uandishi wa habari kwa waliokidhi vigezo vya kisheria.
Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu - Kazi, Ajira, Vijana na Wenye Ulemavu, Mhe. Ridhiwani Kikwete (Wa nne kutoka kushoto) akiwa katika picha ya pamoja na baadhi ya viongozi wa Wizara ya Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo mara baada ya kutembelea Banda la Bodi ya Ithibati ya Waandishi wa Habari-JAB lililopo katika Wizara hiyo Julai 04, 2025 jijini Dar es Salaam.


Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu - Kazi, Ajira, Vijana naWenye Ulemavu, Mhe. Ridhiwani Kikwete (wa kwanza kushoto) akiteta jambo na viongozi mara baada ya kutembelea Banda la Bodi ya Ithibati ya Waandishi wa Habari-JAB lililopo katika Kijiji cha Wizara ya Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo, Julai 04, 2025 jijini Dar es Salaam.
Yaya Resources Charts Growth Path in East Africa’s Mining Sector
habari-Emerging Tanzanian Mining Contractor Showcases Capabilities at 49th Sabasaba Trade Fair
Dkt. Mhede: Serikali Imejipanga Kuhakikisha Mifugo Inapatiwa Chanjo Nchi Nzima
habariNa Daudi Nyingo, Njombe
Naibu Katibu Mkuu wa Wizara ya Mifugo na Uvuvi, Dkt. Edwin Mhede, ameongoza zoezi la utambuzi na uchanjaji wa mifugo mkoani Njombe, ikiwa ni sehemu ya utekelezaji wa Kampeni ya Kitaifa ya Chanjo kwa Mifugo iliyoanzishwa na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan, alipokuwa mkoani Simiyu hivi karibuni.
VITONGOJI VYOTE 64,359 VITAKUWA NA UMEME IFIKAPO 2030
habari-Hadi sasa vitongoji 33,657 vimefikishiwa umeme sawa na 52.3%
Subscribe to:
Posts (Atom)