MONGELA AZUNGUMZA NA VIONGOZI WA CHAMA NA WAZEE KATA YA BULUNGWA, HALMASHAURI YA USHETU

September 08, 2024

 Naibu Katibu Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Bara, John Mongella, akizungumza na Viongozi wa chama na Jumuiya ngazi ya Kata na Matawi,mabalozi,Wazee maarufu na viongozi wa Kimila katika kata ya Bulungwa,Halmashauri ya Ushetu mkoani Shinyanga,leo Septemba 8,2024.


Mongella anaendelea na ziara yake ya siku saba mkoani Shinyanga yenye lengo la kukagua utekelezaji wa Ilani ya CCM ya 2020-2024, kuimarisha uhai wa chama sambamba na kujitambulisha.










Share this

Related Posts

Previous
Next Post »