NAIBU WAZIRI HASUNGA AUTAKA UONGOZI WA TFS KUHAKIKISHA SHUGHULI ZA KIBINADAMU HAZIFANYIKI MSITUNI

December 12, 2017
Naibu Waziri wa Wizara ya Maliasili  na Utalii ,Japhet Ngailonga Hasunga ameutaka uongozi wa Wakala wa Hudumaza Misitu Tanzania(TFS) kuhakikisha  shughuli zozote zaKibinadamu hazifanyiki Msituni na zoezi hilo lisiathiri amakudhuru Binadamu waliokiuka Sheria  hizo kwani kazi kubwaya Wakala wa huduma za misitu ni Uhifadhi.

 Amefafanuakwamba anayahesabu Mafan ikio ya wakala wa  huduma zaMisitu wakifanikiwa  Uhifadhi na si kukamata  Mazao ya Misituyaliyosababisha  Uharibifu.

Hasunga ametoa agizo hilo wakati alipotembelewa  naBodi ya ushauri ya Wizara ya maliasili na Utalii  kwa wakala wawa huduma za Misitu ambayo iliongozwa na Esther  Mkwizua mbao waliwasilisha Pongezi zao kwa uteuzi laki ni piawalimpatia changamoto kubwa inayowakabili Wakala waHuduma za Misitu kuwa ni watumishi kwani kitaaalam afisaMisitu mmoja anatakiwa kuhifadhi hekta 500 za msitu wa asiliwakati kwa msitu wa kupandwa afisa misitu mmoja anatakiwakusimamia hekta 10,000 lakini kutokana na upungufu wawatumishi hivi sasa afisa misitu  mmoja anasimamia zaidi yahekta  10,000.
Katika hatua nyingine wajumbe wa Bodi wamemueleza naibuwaziri huyo kwamba  Tanzania inayo fursa kubwa sana yakufanya vizuri kwenye Mazao ya Nyuki ambapo kwa sasa ninchi yakwanza kwa Uzalishaji wa Ntawakati inashika nafasi ya pili kwa Uzalishaji wa Asali katika Bara la afrikaHukuikitajwa kuwa na Mazao Bora ya nyuki ambapo soko lake katikaNchi za ulaya ni kubwa sana.
Imeelezwa kwamba katika Nchi za afrika ambazo zinasafirishaMazao ya Nyuki Nchi za Ulaya, Tanzania ina kibali hicho hatahivyo changamoto imebaki kuwa uzalishaji wa Mazao ya Nyukihaujaimarishwa vya kutosha japokuwa kumekuwa na Mazingirayote yanayowezesha Uzalishaji.
Alipokuwa akifanya Majumuisho Naibu waziri amewatakaWakala wa Huduma za Misitu Tanzania (TFS) Kuhakikishawanabuni mbinu zitakazowezesha kumaliza migogoro ya Misituna wananchiHivi karibuni kumekuwa na Shughuli za kuondoashughuli za Kibinadamu zinazoendelea kwenye Misitu yaHifadhi ambapo utaalam unaonesha kwamba endapo shughulihizo zikiachwa ziendelee kutakuwa na uharibifu wa vyanzo vyamajimzunguko wa hewa utaahiribiwaRutuba ya udongoitavurugwa jambo ambalo litaaathiri maisha ya binadamu mojakwa moja.

Share this

Related Posts

Previous
Next Post »