NAIBU WAZIRI MPINA AHIMIZA SUALA YA UZINGATIA WA SHERIA ZA USIMAMIZI WA MAZINGIRA KATIKA SUALA LA UCHIMBAJI WA MAFUTA NA GESI

July 11, 2016
 Kushoto Mkurugenzi Msaidizi Ofisi ya Makamu wa Rais Bi Magdalena Mtenga, katikati  Mkurugenzi wa Mawasiliano kutoka Baraza la Taifa la Hifadhi na Usimamizi wa Mazingira Bw. Vedast Makota, Kulia Manager wa kampuni ya uchimbaji wa mafuta na gas ya Dodsal Bw. Parag Jayant. Katika mazungumzo na Naibu waziri Ofisi ya Makamu wa Rais Muungano na Mazingira Mhe..Luhaga Mpina hayupo Pichani yaliyohusu utekelezaji wa sheria ya usimamizi wa mazingira kwa wawekezaji na namna ya kukabiliana na athari zitokanazona mabadiliko ya tabia nchi ujumbe wa kampuni ya Dodsal ulimtembelea Mhe. waziri ofisini kwake mtaa wa Luthuli jijini Dar es Salaam leo.
 Kulia Naibu Waziri Ofisi ya Makamu wa Rais Muungano na Mazingira Mhe. Luhaga Mpina akisisitiza jambo kuhusu masuala ya usimamizi wa mazingira na athari zitokanano na mabadiliko ya tabia nchi. Alipokuwa akizumza na ujumbe wa kampuni ya Dodsal ulimtembelea Mhe. waziri ofisini kwake mtaa wa Luthuli jijini Dar es Salaam leo.
Waliosimama katikati mwenye tai ya Blue Naibu Waziri Ofisi ya Makamu wa Rais Mazingira Mhe. Luhaga Mpina akimsikiliza mmiliki wa kampuni ya kuchimba gas na mafuta ya Dodsal Dkt Rajen Kilichand , baada ya mazungumzo yalohusu mausuala ya uzingatiaji wa sheria na usimamizi wa mazingira, katika suala zina la uchimbaji wa mafuta na gesi. Ujumbe wa Kampuni ya Dodsal ulimtembelea Mhe. waziri ofisini kwake mtaa wa Luthuli jijini Dar es Salaam leo.

Share this

Related Posts

Previous
Next Post »