KATIBU MKUU UVCCM TAIFA KUUNGURUMA KATIKA MKUTANO WA HADHARA HII LEO JIJINI MWANZA.

April 02, 2016
Katibu Mkuu wa UVCCM Taifa, Shaka Hamdu Shaka.
Na:George Binagi-GB Pazzo @BMG.
Katibu Mkuu Taifa wa Umoja wa Vijana wa Chama cha Mapinduzi (UVCCM Taifa), Shaka Hamdu Shaka, hii leo anatarajiwa kuunguruma Jijini Mwanza, katika Mkutano wa hadhara utakaofanyika katika Uwanja wa Magomeni Kirumba, Wilaya ya Ilemela Mkoani Mwanza.
Zidi Bonyeza HAPA

Share this

Related Posts

Previous
Next Post »