TASWIRA YA SOKO LA SAMAKI SAHARE JIJINI TANA LEO JIONI

May 14, 2015


 Wachuuzi wa samaki bandari ya Sahare Tanga wakisubiri wateja. Kipindi hiki cha mbalamwezi samaki wamekuwa wakipatikana kwa wingi. Ndoo moja ya samaki aina ya dagaa ilikuwa ikiuzwa shilingi 8,000 wakati fungu moja na sakami aina ya kibua ni shilingi 1,500.






Share this

Related Posts

Previous
Next Post »