BASI LA DAR EXPRESS LAPATA AJALI MKOANI PWANI LEO

May 09, 2014




Basi la Kampuni ya DAR EXPRESS lenye namba za usajili T 580CFP linalodaiwa kuwa lilikuwa likitokea Dar es Salaam kwenda Jiji la Nairobi nchini Kenya limepunduka hii leo asubuhi katika eneo la Wami Mkoani Pwani. 

Abiria kadhaa wamejeruhiwa katika ajali hiyo ambayo bado cxhanzo chake hakijajulikana.

Share this

Related Posts

Previous
Next Post »