WIZARA YA NISHATI YASHIRIKI WIKI YA NISHATI JADIDIFU JIJINI DAR ES SALAAM

May 28, 2025 Add Comment



Wizara ya Nishati imeshiriki Wiki ya Nishati Jadidifu 2025 inayoendelea jijini Dar es Salaam.

Katika picha ni Wadau na Wageni mbalimbali walipotembelea Banda la Wizara na kupata elimu juu ya masuala mbalimbali ikiwemo umeme na Nishati Jadidifu.

 Wiki ya Nishati Jadidifu inafanyika katika ukumbi wa Kimataifa wa Mikutano wa Mwalimu Julius Nyerere (JNICC).



SERIKALI KUKAMILISHA UJENZI WA VETA WILAYA ZOTE

May 28, 2025 Add Comment
Waziri wa Elimu, Sayansi na Teknolojia Mhe profesa Adolf Mkenda amesema serikali inaendelea na ujenzi wa vyuo vya Mamlaka ya Elimu na Mafunzo ya Ufundi Stadi (VETA) katika Wilaya 64 nchini.

UMOJA WA ULAYA WAIPA KONGOLE REA

May 28, 2025 Add Comment
-Kwa kuwa kinara katika kuhamasisha matumizi ya Nishati Safi ya Kupikia

REA YASHIRIKI MAADHIMISHO YA WIKI YA KITAIFA YA NISHATI JADIDIFU

May 28, 2025 Add Comment
-Elimu ya matumizi ya Nishati Safi ya Kupikia yaendelea kutolewa

OFISI YA WAKILI MKUU WA SERIKALI KUENDESHA MAFUNZO MAALUM KWA MAWAKILI WA SERIKALI

May 28, 2025 Add Comment
NA EMMANUEL MBATILO, DAR ES SALAAM

OFISI ya Wakili Mkuu wa Serikali inatarajia kuendesha mafunzo kwa Mawakili wa Serikali kutoka Tanzania Bara na Visiwani Zanzibar ambapo mafunzo hayo yatafanyika Juni 2 hadi Juni 4, 2025 katika ukumbi wa mikutano wa AICC mkoani Arusha.