Serikali ya awamu ya sita inayoongozwa na Mhe Rais Dkt samia Suluhu Hassan imetoa kiasi cha shilingi Bilioni 5.7 kwa ajili ya ujenzi wa shule mbili mkoani Mara ambazo ni shule ya Sekondari ya Wasichana Mara pamoja na shule ya Amali Butiama (Butiama Technical Sec School).
Showing posts with label habari. Show all posts
Showing posts with label habari. Show all posts
RAIS SAMIA ATOA BIL 3.2 UJENZI WA SHULE MBILI WILAYANI ROMBO KUPITIA MRADI WA SEQUIP
habariSerikali ya awamu ya sita inayoongozwa na Mhe Rais Dkt Samia Suluhu Hassan imetoa jumla ya Shilingi Bilioni 3.2 kwa ajili ya ujenzi wa shule mbili za sekondari wilayani Rombo katika mkoa wa Kilimanjaro.
REA YAMSHUKURU RAIS SAMIA
habari-Muitiko wa wananchi kutumia nishati safi ya kupikia waongezeka maradufu
BIL 28.4 ZAIMARISHA SEKTA YA ELIMU MKOANI MANYARA KUPITIA MRADI WA SEQUIP
habariMkoa wa Manyara umepokea kiasi cha Shilingi Bilioni 28.499 kwa ajili ya ujenzi wa Miundombinu mbalimbali ambayo tayari imeanza kufanya kazi huku mingine ikiendelea na ukamilishaji wa maeneo yaliyosalia.
Subscribe to:
Posts (Atom)