Showing posts with label habari. Show all posts
Showing posts with label habari. Show all posts

WAZIRI KIKWETE ATEMBELEA BANDA LA BODI YA ITHIBATI YA WAANDISHI WA HABARI-HABARI-JAB

July 05, 2025 Add Comment

 

Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu - Kazi, Ajira, Vijana naWenye Ulemavu, Mhe. Ridhiwani Kikwete (wa tatu kutoka kushoto) alipotembelea Banda la Bodi ya Ithibati ya Waandishi wa Habari-JAB lililopo katika Kijiji cha Wizara ya Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo, Julai 04, 2025 jijini Dar es Salaam.

Akiwa katika Banda hilo Mhe. Kikwete amekutana na Kaimu Mkurugenzi Mkuu wa Bodi Wakili Patrick Kipangula (wa pili kutoka kushoto) aliyemuelezea historia fupi ya kuanzishwa Bodi hiyo, majukumu yake na maendeleo ya zoezi la usajili wa Waandishi wa Habari na ugawaji wa vitambulisho vya uandishi wa habari kwa waliokidhi vigezo vya kisheria.
Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu - Kazi, Ajira, Vijana na Wenye Ulemavu, Mhe. Ridhiwani Kikwete (Wa nne kutoka kushoto) akiwa katika picha ya pamoja na baadhi ya viongozi wa Wizara ya Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo mara baada ya kutembelea Banda la Bodi ya Ithibati ya Waandishi wa Habari-JAB lililopo katika Wizara hiyo Julai 04, 2025 jijini Dar es Salaam.
Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu - Kazi, Ajira, Vijana naWenye Ulemavu, Mhe. Ridhiwani Kikwete (wa kwanza kushoto) akiteta jambo na viongozi mara baada ya kutembelea Banda la Bodi ya Ithibati ya Waandishi wa Habari-JAB lililopo katika Kijiji cha Wizara ya Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo, Julai 04, 2025 jijini Dar es Salaam.

Yaya Resources Charts Growth Path in East Africa’s Mining Sector

July 05, 2025 Add Comment
-Emerging Tanzanian Mining Contractor Showcases Capabilities at 49th Sabasaba Trade Fair

Dkt. Mhede: Serikali Imejipanga Kuhakikisha Mifugo Inapatiwa Chanjo Nchi Nzima

July 05, 2025 Add Comment
Na Daudi Nyingo, Njombe

Naibu Katibu Mkuu wa Wizara ya Mifugo na Uvuvi, Dkt. Edwin Mhede, ameongoza zoezi la utambuzi na uchanjaji wa mifugo mkoani Njombe, ikiwa ni sehemu ya utekelezaji wa Kampeni ya Kitaifa ya Chanjo kwa Mifugo iliyoanzishwa na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan, alipokuwa mkoani Simiyu hivi karibuni.

VITONGOJI VYOTE 64,359 VITAKUWA NA UMEME IFIKAPO 2030

July 05, 2025 Add Comment
-Hadi sasa vitongoji 33,657 vimefikishiwa umeme sawa na 52.3%

ULUGURU NA PUGU KAZIMZUMBWI ZAIMARISHA USHIRIKIANO KWA UTALII NA UHIFADHI

July 05, 2025 Add Comment
NA EMMANUEL MBATILO, PWANI

HIFADHI ya Mazingira Asilia ya Uluguru kutoka mkoani Morogoro imefanya ziara ya mafunzo katika Hifadhi ya Mazingira Asilia ya Pugu Kazimzumbwi, kwa lengo la kuwajengea uwezo wadau wa utalii kutoka mkoa huo, sambamba na kuimarisha ushirikiano katika uhifadhi wa mazingira na kukuza utalii wa ikolojia.