VIDEO – HII NDIYO BARUA ILIYOANDIKWA KWENDA KWA WAZIRI WA ARDHI WAKIMLALAMIKIA DC WA TUNDURU.

April 19, 2018
Baadhi ya Wananchi wa Kijiji cha Muhuwesi Wilaya ya Tunduru mkoani Ruvuma , Waliandika barua bubu kwenda kwa Waziri wa ardhi wakiwalalamikia mkuu wa Wilaya hiyo Juma Homera na mkurugenzi wa halmashauri ,wakidai hawajatendewa haki na viongozi hao katika kiwanja kilichopo kijijini hapo ambachokinatakiwa kujengwa chuo cha SUA.

Share this

Related Posts

Previous
Next Post »