UTARATIBU ULIOTUMIKA KUONGEZA MAMBO 11 YA MUUNGANO

March 26, 2018


Waziri wa Nchi Ofisi ya Makamu wa Rais Muungano na Mazingira Mhe. January Makamba akiwasilisha taarifa ya Bajeti ya Ofisi yake kwa mwaka fedha 2017/2018 na mapendekezo ya Mapato na Matumizi kwa mwaka 2018/19. Taarifa iliyowasilishwa mbele ya Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Katiba na Sheria, hii leo Mjini Dodoma.

Naibu Waziri Ofisi ya Makamu wa Rais Mhe. Kangi Lugola alifafanua jambo kwa wajumbe wa Kamati ya Katiba na Sheria mara baada ya kuwasilisha taarifa yao kwa Kamati hiyo hii leo Mjini Dodoma.

Baadhi ya Watendaji wa Ofisi ya Makamu wa Rais wakifuatilia majadiliano ya wajumbe wa kamati mara baada ya kuwasilisha taarifa yao. Kutoka kushoto ni Bw. Richard Muyungi Mkurugenzi wa Mazingira, Bi. Oigenia Mpanduji Mkurugenzi wa Sera na Mipango na Bi. Butamo Phillip Naibu Katibu.


Pichani, Wajumbe wa Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Katiba na Sheria Mhe. Saed Ahmed Kubenea (kulia) na Mhe. Joseph Kizito Mhagama wakifuatilia majadiliano katika Kamati yao hii leo Mjini Dodoma.

Share this

Related Posts

Previous
Next Post »