Mkutano mkuu wa 44 wa wanahisa wa TBL wafanyika Dar es salaam

November 12, 2017

TBL wanahisa 3
Mwenyekiti wa Bodi ya TBL,Mh.Cleopa Msuya (katikati) akiendesha mkutano mkuu wa 44 wa  mwaka  wa wanahisa. wengine pichani kutoka kushoto ni Mkurugenzi wa Fedha wa AB-InBev Afrika Mashariki Bruno Zambrano, Mkurugenzi wa Tbl Group ambaye pia ni Rais wa kitengo cha Biashara Afrika Mashariki  AB-InBev,Roberto Jarrin, Mkurugenzi wa bodi ya TBL Group    Balozi Ami Mpungwe  na  Katibu wa TBL Group,Huruma Ntahena (wa pili kulia)
TBL wanahisa 1
Baadhi ya wanahisa  wa Tbl Group  wakiwa katika mkutano mkuu wa 44 wa mwaka uliofanyika  katika ukumbi wa mikutano wa Kimataifa wa   Julius Nyerere jijini Dar es Salaam.
TBL wanahisa 2
Mkurugenzi wa bodi ya TBL Group ,Balozi Ami Mpungwe (kulia) Katibu na Mwanasheria wa Tbl Group,Huruma Ntahena (katikati)  wakibadilishana  mawazo.(Kushoto) ni Mwenyekiti wa bodi  wa TBL Group,Cleopa Msuya.
TBL wanahisa 5
Mkurugenzi wa TBL na Rais wa ABINBEV Afrika Mashariki,Roberto Jarrin, akisisitiza jambo wakati wa mkutano huo
TBL wanahisa 8
Watendaji wa Bodi ya TBL katika picha ya pamoja na baadhi ya wanahisa waliohudhuria

Share this

Related Posts

Previous
Next Post »