Mkurugenzi
Mkuu mpya wa Shirika la Taifa la Hifadhi ya Jamii (NSSF), Prof. Godius
Kahyarara akisalimiana na Mkurugenzi wa Mipango, Uwekezaji na Miradi wa
NSSF, Yacoub Kidula.
Wataalamu
wa ujenzi wa daraja la Kigamboni wakisalimiana na Mkurugenzi Mkuu mpya
wa Shirika la Taifa la Hifadhi ya Jamii (NSSF), Prof. Godius Kahyarara.
Barabara za kuingilia darajani upande wa Kurasini.
Meneja Miradi wa NSSF, Mhandisi John Msemo akionyesha njia za kuingia na kutoka darajani
Barabara ya kuingilia darajani upande wa kushoto na barabara ya kutokea mjini upande wa kulia.
Mkurugenzi
Mkuu mpya wa Shirika la Taifa la Hifadhi ya Jamii (NSSF), Prof. Godius
Kahyarara (wa tatu kushoto) akipata maelezo kutoka kwa wahandisi wa
ujenzi wa daraja la Kigamboni wakati wa ziara yake ya kutembelea daraja
la Kigamboni.
Meneja Miradi wa NSSF, Mhandisi John Msemo akifafanua jambo
kwa Mkurugenzi Mkuu mpya wa Shirika la Taifa la Hifadhi ya Jamii (NSSF),
Prof. Godius Kahyarara (katika) alipotembelea daraja wa Kigamboni
jijini Dar es Salaam, daraja hilo linatarajiwa kuzinduliwa hivi karibuni baada ya kumalizika kwa ujenzi wake
kwa Mkurugenzi Mkuu mpya wa Shirika la Taifa la Hifadhi ya Jamii (NSSF),
Prof. Godius Kahyarara (katika) alipotembelea daraja wa Kigamboni
jijini Dar es Salaam, daraja hilo linatarajiwa kuzinduliwa hivi karibuni baada ya kumalizika kwa ujenzi wake
EmoticonEmoticon