LIGI KUU YA ZANZIBAR YAENDELEA KUSHIKA KAKSI,MTENDE RANGERS YAKUBALI KICHAPO CHA BAO 1-0 DHIDI YA ZIMAMOTO

May 27, 2015


 Mshambuliaji wa timu ya Mtende akijaribu kumpita beki wa timu ya Zimamoto wakati wa mchezo wao wa Ligi Kuu ya Zanzibar uliofanyika Uwanja wa Amaan Zanzibar timu ya Zimamoto imeshinda 1--0


 Mchezaji wa timu ya Mtende Khatib Said (kushoto) na wa Zimamoto Hassan Said wakiwania mpira wakati wa mchezo wao wa ligi kuu ya Zanzibar uliofanyika uwanja wa Amaan timu ya Zimamoto imeshinda 1--0
 Mshambuliaji wa timu ya Mtende Ibrahim Hamad, akiwapita mabeki wa timu ya Zimamoto, wakati wa mchezo wa Ligi Kuu ya Zanzibar uliofanyika uwanja wa Amaan timu ya Zimamoto imeshinda 
1--0 
  Wachezaji wa timu ya Zimamoto Ramadhan Abdalla na wa mtende Khamis Said wakiwania mpira
Beki wa timu ya Zimamoto Ramadhan Abdalla na mshambuliaji wa timu ya MtendeRangers Jumanne Seif wakiwania mpira wakati wa mchezo wao wa Ligi Kuu ya Zanzibar uliofanyika uwanja wa Amaan Timu ya Zimamoto imeshinda 1--0.

Share this

Related Posts

Previous
Next Post »