Kituo cha Sheria Zanzibar (ZLSC) na Jumuiya ya Waandishi wa Habari za Maendeleo Zanzibar (WAMAZA) Watowa Mafunzo ya Haki za Binadamu na Sheria za Waandishi wa Habari Zanzibar.

May 27, 2015



Mwandhishi wa Habari Muandamizi Zanzibar Bi Maryam Hamdan akifungua Mafunzo ya Haki za Binaadamu na Sheria za SWaadishi wa Habari Zanzibar, mafunzo hayo yamewashirikisha waandishi Waandishi wa Habari mbalimbali Zanzibar, yalioandaliwa na Kituo cha Sheria Zanzibar ZLSC kwa kushirikiana na Jumuiya ya Waandishi wa Habari za Maendeleo Zanzibar (WAMAZA) yaliofanyika katika ukumbi wa kituo hicho migombani Zanzibar.kushoto Katibu Mtendaji wa Tume ya UtangazajiZanzibar Ndg Chande Omar na kulia Mwenyekiti wa WAMAZA Bi Salma Said
Washiriki wa Semina ya Waandishi wa Habari Zanzibar wakimsikiliza Bi Maryam Hamdan akitowa nasaha zake na Kuwataka waandishi kutumia Kalamu zao Vizuri wakati wa kuriopoti habari kwa wananchi.  












Share this

Related Posts

Previous
Next Post »