WAANDISHI WA HABARI WANAWAKE TANGA KUFANYIA USAFI KITUO CHA AFYA PONGWE

October 24, 2014



Mwenyekiti wa chama cha Waandishi wa habari Mkoa wa Tanga (TWMO) Bertha Mwambela (wapili kutoka kushoto) na wanachama wa chama hicho kwenye kikao cha maandalizi ya Kufanya usafi, kituo cha afya Pongwe.

CHAMA cha waandishi wa Habari Wanawake Mkoani Hapa, Tanga Women in Organization (TWMO) kesho watafanya usafi katika kituo cha afya Pongwe, tarafa ya Pongwe, kilichopo kwenye Halmashauri ya Jiji la Tanga.
Kituo hicho kilicho chini ya Mganga Mfawidhi, Dk. Faisal Ali, kinapokea mamia ya wagonjwa kwa siku kutoka vijiji mbalimbali wakiwemo wajawazito na watoto.

Waandishi wa habari Mkoa wa Tanga wakiwa kwenye kikao chao cha maandalizi ya Kufanya usafi, kituo cha afya Pongwe.

Share this

Related Posts

Previous
Next Post »